KAMISHENI YA KISWAHILI YA AFRIKA MASHARIKI NA HATIMA YA VISWAHILI SANIFU
DOI:
https://doi.org/10.2023/t4kw9y83Abstract
Makala haya yanahusu nafasi ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKAMA) ikiwa ni tumaini jipya katika kudhibiti Viswahili sanifu katika nchi za Afrika Mashariki. Makala haya ni matokeo ya utafiti wa maktabani uliohakiki maandiko mbalimbali. Hoja kuu ya makala haya ni kwamba wakati wa ukoloni kulikuwa na Kiswahili sanifu cha Afrika Mashariki ambacho hakipo katika Afrika Mashariki huru. Hii ni kwa sababu, baada ya uhuru, Kamati ya Lugha (Kiswahili) ya Afrika Mashariki ilisambaratika na huo ukawa mwanzo wa kuibuka na kukua kwa Viswahili sanifu vya kimaeneo. Kuundwa kwa BAKITA Tanzania Bara na BAKIZA kwa upande wa Zanzibar kuliimarisha launi za Kiswahili. Pia, kutungwa kwa kamusi za KKS, KKF na KTK kwa Tanzania, Zanzibar na Kenya mtawalia ni ushahidi wa kuimarika kwa Viswahili sanifu vya kimaeneo. Vichocheo vya kuinukia kwa Viswahili hivyo vinaweza kuwa vingi lakini mawanda ya kisiasa kama kipengele muhimu cha ikolojia ya lugha yana nafasi ya juu zaidi kuliko sababu kuntu za kitaaluma. Hitimisho la makala haya ni kwamba inafaa kuwe na usanifishaji mpya na endelevu wa Kiswahili ili kurejesha umoja wa lugha wa Afrika Mashariki uliokuwapo wakati wa ukoloni. Wito wa makala haya ni kwamba KAKAMA inapaswa kuchukua hatua zinazostahiki kusitisha ongezeko la Viswahili sanifu kwa madai ya uhuru wa jamii kutumia lugha itakavyo. Muhuri wa ithibati lazima urejeshwe kwa KAKAMA ili kuhakikisha kwamba msamiati, miundo na matumizi ya Kiswahili sanifu kwa jumla yanasawazishwa. Matumizi rasmi ya lugha kama vile katika elimu na utawala yanapaswa kuwa yale yaliyokubaliwa na watumiaji kwa vigezo vya pamoja.
Downloads
Published
Issue
Section
License
Copyright (c) 2025 JARIDA LA CHAUKIDU

This work is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial 4.0 International License.
License Terms Under CC Attribution-NonCommercial 4.0 (CC BY-NC 4.0)
1. Scope of Use
- Readers who purchase access to the journal articles are permitted to:
- Read: Access and view the content for personal use.
- Share: Share the purchased article in limited, non-commercial ways (e.g., with colleagues for educational or research purposes).
- Adapt: Create derivative works (e.g., summaries or adaptations) for non-commercial purposes.
2. Conditions of Use
- Attribution:
- Proper credit must be given to the author(s) and the journal when sharing or adapting content.
- Attribution must include the author(s)’ names, the article title, journal name, volume/issue, and a link to the journal or article DOI.
- Changes made to the work must be clearly indicated and properly attributed.
- NonCommercial:
- Articles may not be used for commercial purposes, including but not limited to resale, redistribution for financial gain, or inclusion in commercial products or services.
- Institutional use (e.g., for training or workshops) must comply with non-commercial terms unless explicit permission is granted by the journal.
3. Access and Sharing Restrictions
- Paid Access: Access to the journal articles is limited to subscribers or individuals who purchase the articles. Unauthorized distribution or sharing of the full article is prohibited.
- No Additional Restrictions: Readers may not apply further legal or technical restrictions that limit others from using the content as allowed by this license.
4. Prohibited Uses
- Articles may not be:
- Distributed on commercial platforms without explicit permission.
- Used in any activity that generates direct or indirect monetary profit (e.g., as part of paid courses or events) without prior approval from the journal.
- Modified for purposes that could misrepresent the original intent of the work.
5. Disclaimer
- The content is provided “as is,” without any guarantees or warranties from the authors or the journal.
- Neither the authors nor the journal accept liability for any claims, damages, or issues arising from the use of the article.
6. Additional Notes
- For Readers: Purchased content is for personal, educational, or research use only, subject to the non-commercial and attribution conditions.
- For Institutions: Institutions purchasing bulk access or subscriptions must ensure that access is limited to registered users and complies with non-commercial use conditions.
For the full legal text of the CC BY-NC 4.0 license, visit:
https://creativecommons.org/licenses/by-nc/4.0/legalcode